Duration 29:51

Jinsi ya kupika CHAPATI laini za KUSUKUMA kwaajili ya FAMILIA yako | Pika na Babysky

26 685 watched
0
284
Published 3 May 2020

MAHITAJI 1. Unga wa ngano vikombe viwili 2.Maziwa ya unga vijiko vitatu vya chakula, jaza 3. Mafuta ya samli (Ghee) vijiko vitatu vya chakula 4. Sukari kijiko kimoja cha chakula 5. Chumvi kijiko kidogo cha chai 6. Maziwa fresh vikombe viwili vya chai, (low fat) *Changanya vyote na anza kukanda unga wako ukishapata donge malizia kwa kumwagia Butter vijiko viwili vya chakula uliyoiyeyusha!! Endeleaa kukanda mpaka uwe mlaini kabisaaaa!!!

Category

Show more

Comments - 58