Duration 2:19

MSIMAMO WA TFF KUHUSU MABADILIKO YA MFUMO WA UENDESHAJI YANGA

689 watched
0
2
Published 27 Jun 2021

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao amesema Shirikisho hilo ni waumini wakubwa wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu zote ikiwemo Yanga. Kidao ameyazungumza hayo alipopata nafasi ya kutoa salamu kwenye mkutano mkuu wa klabu ya Yanga uliofanyika leo Juni 27, jijini Dar es Salaam #TFF#Mabadiliko#Yanga

Category

Show more

Comments - 0