Jane Wasira atoa machozi kwa alichotamkiwa na Marehemu Bishop Dr Rwakatare enzi za uhai wake. Ni baada ya kushuhidia jinsi Mungu alivvyomponya tatizo la miguu yake. ushuhuda huu aliutoa siku ya Jumapili 07.06.2020 kwenye ibada ya kupokea habari njema iliyofanyika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"
Category
Show more
Comments - 14
Related videos for Jane Wasira atoa machozi kwa alichotamkiwa na Marehemu Bishop Dr Rwakatare enzi za uhai wake.: